KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUHEZA | VYUO NA AJIRA | Official site
Breaking News
Loading...

Friday, October 20, 2017

KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUHEZA

     




Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza anapenda kuwa arifu waombaji wote walioomba kazi ya Utendaji wa Kijiji daraja la III zilizo tanganzwa tarehe 11/10/2017 kuwa usaili wa kuandika utafanyika tarehe 24/10/2017 saa 2:30 katika Ukumbi wa  chuo cha uuguzi Teule uliopo wilaya ya Muheza.Kwamaelezo zaidi
PAKUA FAILI HILI HAPO CHINI


google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT