BREAKING NEWS : PICHA Kikosi Maalumu cha Makomando US, waanza mazoezi ya Kuvamia na Kuharibu Silaha za Maangamizi NK | VYUO NA AJIRA | Official site
Breaking News
Loading...

Saturday, May 20, 2017

BREAKING NEWS : PICHA Kikosi Maalumu cha Makomando US, waanza mazoezi ya Kuvamia na Kuharibu Silaha za Maangamizi NK

[​IMG]
[​IMG]
[​IMG]
[​IMG]
Makomando wa kimarekani Wamemaliza DRILL ya Zoezi maalumu liitwalo "Warrior Strike 7" huko South Korea katika mji wa uijeongbu kambini kwao Stanley.....

Zoezi hilo limehushisha meli za kivita za korea kusini, na mazoezi ya kupambana ufukweni.
REjereo
RT


My take
Wakuu, tusiilaumu US, kwa wanachokifanya duniani. Tukumbuke kabla ya WW2. Wamarekani walijitenga na mambo ya kidunia na kufanya yao. Sasa ni dunia ndio iliyoiita na kuishinikiza ijiingize kwenye mambo ya kidunia wakiaza na WW2. Kuna haja ya kuwaacha waendelee na yao kwa faida ya Taifa lao.

SOURCE
JAMII FORUMS 

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT