NAFASI ZA KAZI ZA UALIMU | VYUO NA AJIRA | Official site
Breaking News
Loading...

Tuesday, October 10, 2017

NAFASI ZA KAZI ZA UALIMU


Uongozi wa Living Stone Boy's Seminary iliyopo wilayani Muheza, Tanga, inatangaza nafasi za kazi kwa walimu wenye uwezo kufundisha Advanced level kwa masomo yafuatayo;-
1. Mathematics
2. ICT.
3. Biology/Geography.
4. Physics/Mathematics.
Sifa za mwombaji.
1. Awe amehitimu chuo kikuu na kuchukua education.
2. Mwombaji awe na sifa ya kujituma na mwenye uzoefu katika kufundisha.
Maombi ya mwombaji yatumwe kwenye e-mail lsbs1784@gmail.com yakiambatishwa na vitu vifuatavyo:-
1. Application letter(Living Stone Boy's Seminary, P. O box 100, Muheza, Tanga)
2. CV
3. Personal statement.
4. Certificate of Graduation
5. O level & A level results
6. University transcript.

Kwa mawasiliano zaidi ya haraka piga simu 0628929816.
Mwisho wa maombi yote ni tarehe 18/10/2017.
MUHIMU, Nafasi za kazi zilizotolewa, zipo kama masomo yalivyotolewa na sio vinginevyo.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT