Picha za wanafunzi 32, walimu 2 na dereva mmoja wa Shule ya Lucky Vicent waliofariki katika ajali ya gari Karatu mkoani Arusha | VYUO NA AJIRA | Official site
Breaking News
Loading...

Monday, May 8, 2017

Picha za wanafunzi 32, walimu 2 na dereva mmoja wa Shule ya Lucky Vicent waliofariki katika ajali ya gari Karatu mkoani Arusha


Juzi wanafunzi 32 wa darasa la saba, walimu 2 na dereva wa gari la shule ya msingi iitwayo Lucky Vicent ya Arusha walifariki dunia majira ya saa 3 asubuhi baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali katika eneo Rhotia Marera, Wilaya ya Karatu Mkoani Arusha.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT